Monday, February 6, 2012

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE SOON UTAYAPATA HAPA

BONYEZA HAPA KUONA MATOKEO YA FORM FOUR MWAKA 2012





Examination Results

f MATOKEO YA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2011 LINK1

f MATOKEO YA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2011 LINK2

f MATOKEO YA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2011 LINK3

f MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2011 LINK1

f MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2011 LINK2

f MATOKEO YA MTIHANI WA MAARIFA (QT) 2011 LINK3


Ili kupata majina hayo punde tu yatakapo ingia waweza join hapo kulia bonyeza  JOIN THIS SITE  yataingia link itaingia kwenye email yako
ama waweza kuingia kwenye PAGE yetu hapo utawaweza kuyapata pia maana tuta share link hapo pia
INGIA HAPA
https://www.facebook.com/Hiphoptz

39 comments:

Anonymous said...

presha inapanda inashukaaaaaa
kikinuka nahitaji asprine za jero
wajameni

Anonymous said...

We acha 2 yaani hapakaliki hata hamu ya kula hamna roho juu juu.

Anonymous said...

kaka 2nayasubiri

Anonymous said...

lini yanatoka mbona kimya tu!!!!!!!!!!!!!!

Benson Munisi said...

Dah jamani vipi tena yanatoka lini jamani na muda gani maana presha inapanda na kushukaa

Anonymous said...

isipane wala isishuke maana wakati ndio umeshafika

Anonymous said...

mna2zingua mbona haya toki cku zote hizo

Anonymous said...

Mbona matokeo hayajatoka wacheni kutudanganya!

Anonymous said...

Yametoka

Anonymous said...

Plz mkuu ntumie link yenye matokeo ya Shauritanga kwenye email address hii tilyabrand-2011@hotmail.com

Anonymous said...

walio maliza kidato cha nne 2012 kesheni mkiomba usahihishaji uwe mzur!

Twaa wa kitaa said...

Naona watu wote macho kwangu

Anonymous said...

The result will be out Feb.07.2013

Anonymous said...

Acheni kuogopa NECTA wamesema matokeo ni mzr klko mwk 2011.WISHES ALL THE BEST

Anonymous said...

mbona presha sana kufaulu na kutokufaulu kila m2 anajijua mwenyewe so matokeo ni kama kithibitsho 2

sukali ya warembo said...

Jmani tuambieni mtatuuwa kwa prxa

vedastus said...

jamani vipi nilini matokeo yetu yanatoka mwezi wenyewe huo

vedastus said...

jamani vipi nilini matokeo yetu yanatoka mwezi wenyewe huo

Anonymous said...

Matokeo yalishatoka, ni swala la kubandika tu.

Anonymous said...

jamani matokeo yametoka kweli.

Anonymous said...

Matoke ijumaa jamani tare8

Anonymous said...

daah yan achen mngejua !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

SI MTOE YA 2013 TUELEWE

Anonymous said...

yatoke basi

Anonymous said...

am waiting men@nearipper

Anonymous said...

Leo myatoe basi, maana tumechoka kusubiri. In fact it is embarassing waiting for results for such long time.

Anonymous said...

Au mnayachachua kwa kupiga factor maana elimu ya bongo virus wameimeza, yaachieni mazee 2mechoka na pressure za kitaa.

Anonymous said...

God,s intervension is important in this

Anonymous said...

tz 9th leo jman vp mbna xaxa hayo matokeo hayatoki jman...pressure debe uku

emmanuel jimmy mlwale said...

jaman presha.

Mashaka Jonas Madale said...

Lini yanatoka

Anonymous said...

Matokeo yatatoka kesho asubuh!!

Anonymous said...

mhhhhhhhhhhhh its 14th jamani

Anonymous said...

yanatoka leo mc anye!

Anonymous said...

Mbona mnatufanya vifarnga vya kuku kila cku kesho au kwakuwa watoto wenu hawsomi bongo ndo mnatutia pressure sisi
its not fair at all

Anonymous said...

naona baraza la mitihani limeanza kuonesha mapungufu yake, kupata matokeo hadi uwe na mtu jikoni,watoto wa wakubwa walishajua matokeo yao,not fair!!!!!

linda frank said...

mbna mna chelewesha mambo

Anonymous said...

Duuh...! moja aikai mbili ndo uxixeme jaman wa2 watakufa huku mana hata chakula hakna ladha tena!

Anonymous said...

Hiki ni kioja cha mwaka. Wahusika wajiandae kutupa maelezo kwa nini wanafunzi zaidi ya nusu ya watahiniwa wamefeli. Tusifanye speculations.Utafiti mwa kisayansi unatakiwa ufanywE na NECTA.

Post a Comment

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More

 
Powered by Blogger